• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Madiwani waridhia kukatwa posho ya Mwezi ili kuchangia Miradi ya Maendeleo

Posted on: November 28th, 2018

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Handeni kwa pamoja limeridhia wahe.Madiwani wote kukatwa posho yao ya Mwezi ili kuchangia miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la madiwani cha tarehe 27/11/2018  kujadili taarifa za kamati za kudumu Robo ya kwanza 2018/2019 Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Twaha Mgaya ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kwenjugo amependekeza kwa Baraza hilo kuona jinsi ya kuungana na Wananchi pamoja na Serikali kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Ambapo amependekeza kila mhe.Diwani akubali kukatwa posho yake ya Mwezi mmoja ili kuchangia kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo hasa kwenye sekta za Afya na Elimu, mara baada ya kutoa pendekezo hilo aliwahoji wahe.Madiwani kama wameafiki ambapo kwa pamoja wote wamekubali kukatwa posho zao.Aidha Mwenyekiti amesisitiza kuwa posho hiyo siyo lazima ikatwe kwa pamoja mara moja Diwani anaweza kuamua kuwa anachangia kidogo kidogo mpaka afike kile kiasi cha posho anachokipata kwa mwezi, lakini ahakikishe anakamilisha mchango wake kabla ya Uchaguzi wa mwaka 2020.

Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakipitia taarifa mbalimbali wakati wa Baraza la Robo ya kwanza 2018/2019 likiendelea tarehe 27/11/2018

Akizungumza wakati wa hoja hiyo Mhe.Ulenge Diwani wa Kata ya Mdoe amesema wao Madiwani wamekuwa wakichangia shughuli nyingi za maendeleo katika maeneo yao hivyo haoni haja ya kwa nini wasikatwe posho zao ili kuendelea kuwatia moyo Wananchi wanaojitoa kwa hali na mali kuhakikisha maendeleo yanapatikana kwenye maeneo yao.

Wakati huo huo Baraza limeridhia na kuwadhibitisha Wakuu wa Idara na Vitengo nane (08), ambao ni :-

1)Bw.Thomas Mzinga - Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii

2)Bw.Omari Mashaka - Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi

3)Bi.Mtendeje Kingimali - Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari

4)Bw.Fabian Massawe - Mkuu wa Idara ya Fedha na Biashara

5)Bw.Richard Unambwe - Mkuu wa Kitengo cha Sheria.

6)Dkt.Feisal Said - Mkuu wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe

7)Bw.Wilbard Sakaya - Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi

8)Bw.Oscar Myovela - Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.