• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Naibu Waziri Kakunda afanya ziara Handeni

Posted on: August 18th, 2018

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Mhe.Joseph Kakunda amewataka viongozi wa Serikali Wilayani Handeni kuhakikisha wanasimamia vyema fedha za miradi ya maendeleo. 

Hayo ameyasema wakati za ziara yake baada ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo hayo,maeneo aliyotembelea ni Ujenzi wa maabara katika Shule Sekondari Kileleni,ujenzi wa jengo jipya la Utawala la Halmashauri ya Mji Handeni,darasa,choo pamoja na mabweni yanayojengwa katika Shule ya Sekondari Handeni.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mhe.Kakunda amesisitiza kuwa Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuhakikisha Wananchi wanaondokana kero mbalimbali kwenye sekta muhimu yaani Afya na Elimu ambazo kwa namna moja au nyingine zinagusa kwa kiasi kikubwa maisha ya Wananchi wengi.

Kwa upande wa Elimu mpaka sasa Serikali imezifikia jumla ya Shule za msingi 6200 na Shule za Sekondari 3159 Nchi nzima kwenye masuala ya ujenzi wa madarasa, mabweni, matundu ya vyoo, nyumba za Walimu, mabweni pamoja na mabwalo. vile vile Serikali imeendelea kuhakikisha inawapatia motisha pamoja na nyenzo zinatakazo saidia utendaji kazi kwa watumishi wa sekta ya Elimu.

"Mpaka sasa nchi nzima Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu, na Maafisa Elimu Kata wote Nchini wanapewa posho ya madaraka kila mwezi nje ya mshahara, vile vile Maafisa Elimu Kata Nchi nzima wamepatiwa pikipiki kwa ajili ya kurahisisha ufuatiliaji wa masuala ya Elimu katika maeneo yao hiki sio kitu kidogo bahati nzuri Wananchi wanaona, " amesema Kakunda.

Kwa upande wa Afya Serikali imeendelea kuongeza bajeti ya vifaa tiba na dawa mwaka hadi mwaka, kwa mfano bajet ya vifaa tiba imeongezeka mpaka takibrani bilioni 270 toka bilioni 35 toka mwaka 2015.Vile vile juhudi za ujenzi wa vituo vya Afya imekuwa ikiendelea kwa kasi toka Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani jumla takribani miaka 2 inatarajia kujenga jumla ya vituo vya Afya 205.

Mhe.Joseph Kakunda Naibu Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI  akiwasili katika Shule ya Sekondari Handeni wakati wa ziara yake tarehe 17/08/2018

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Handeni wakifuatilia hotuba ya Mhe.Joseph Kakunda Naibu Waziri OR-TAMISEMI alipofanya ziara Shuleni hapo tarehe 17/08/2018

Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Twaha Mgaya (wa kwanza kushoto) akifafanua jambo mbele Naibu Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe.Joseph Kakunda

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.