• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Waziri Mkuu mhe.Kassim Majaliwa afanya ziara Halmashauri ya Mji Handeni

Posted on: March 4th, 2020

Waziri Mkuu mhe. Kassim  Majaliwa amewataka wakuu wa Idara kutumia siku  4 kwenda  kusikiliza  kero za Wananchi  na kuwaelimisha kila mmoja katika sekta yake  namna ambavyo watakavyoweza kunufaika kupitia Idara yake.

 Majaliwa ameyasema hayo  Machi 3, 2020 katika Viwanja vya Shule ya Msingi Chanika  wakati akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na uongozi wa awamu ya tano.

Akiongea na watumishi Waziri Mkuu, Majaliwa amewataka watumishi kufahamu wajibu wao kwa wananchi kwa kuwa wananchi ndio wakuu wao. Huku akiwataka kufuata miongozo, taratibu na kanuni kwa kufuata falsafa ya Mkuu wa Nchi.

Katika ziara hiyo amewakumbusha  madiwani kuwa wanawajibu wa  kusimamia shughuli zote na nini kifanyike katika Halmashauri, usalama wa mali na fedha kuwa salama  huku  akiwataka kukemea mtu yoyote ambae hafuati  utaratibu wa Halmashauri hiyo kwa kuzingatia sheria za nchi na  maelekezo ya serikali kuu. Aliongeza Waziri Mkuu.

Kuhusu changamoto zinazowakabili Wananchi wa Halmashauri ya Mji Handeni hasa sekta ya Afya, Maji, Elimu pamoja na miundombinu ya barabara Waziri Mkuu ameahidi Serikali changamoto hizo itaendelea kuzitatua moja baada jingine, kwa upande wa Afya tayari Serikali imepanga kuajiri madaktari 1000 ambapo wakati wa mgao Halmashauri ya Mji Handeni itapewa kipaumbele ,vile vile suala la vifaa tiba hasa X-ray italetwa tena ya kisasa.

Waziri Mkuu akiwahutubia Wananchi kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Chanika tarehe 03/03/2020.


Wananchi wakifuatilia hotuba ya Waziri Mkuu kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Chanika tarehe 03/03/2020.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe.Godwin Gondwe akiwahutubia Wananchi wakati wa ziara ya Waziri Mkuu.(picha kwa hisani ya Rajabu Athumani)

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.