• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Mkutano wa Kwanza Baraza la pili la Madiwani Wafanyika

Posted on: January 29th, 2021

Mkutano wa kwanza wa Baraza la pili la Madiwani umefanyika leo tarehe 29.01.2021.

Kabla ya kuanza kwa Mkutano huo kulitanguliwa na Baraza la kujadili maendeleo ya Kata ambapo kila Diwani aliwasilisha shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi husika pamoja na malengo waliojiwekea kuhakikisha shughuli nyingi za maendeleo zinakweda kwa kasi.

Kamati mbalimbali zimewasilisha shughuli za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kamati hizo ni kamati ya fedha na Uongozi, Huduma za Jamii, Ukimwi pamoja na Mipango Miji.

Akizungumza kwenye mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri mhe.Mussa Mkombati amewaomba wahe.Madiwani pamoja na Wataalam kutokaa Ofisini watumie muda wao mwingi kutembelea maeneo mbalimbali ili kusikiliza kero za Wananchi na kuweza kuzitatua kwa haraka.

kuhusu Elimu Baraza limejipanga kuhakikisha kila mtoto anayestahili kwenda Shule anakwenda, pia kuhakikisha mapambano ya mimba kwa wanafunzi zinadhibitiwa na ikabainika wale wote wanaohusika sheria  ichukue  mkondo wake.

Akizungumza kwenye baraza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Bw.Kenneth Haule amewaomba wahe.Madiwani kuwasimamia kwa karibu Watendaji wote wa Serikali waliyopo ngazi za Kata na Mitaa kuhakikisha wanawasilisha taarifa za utekelezaji wa shughuli mbali mbali kwenye maeneo yao ili kuweza kuondoa baadhi ya kero zilizopo ngazi ya Kata na Mitaa kuliko kusubiri vikao vikubwa vya maamuzi.

Matangazo

  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 kutoka Handeni Mji December 18, 2020
  • "Joining Instructions" Kwa Mwaka wa Masomo 2021 Handeni Mji December 16, 2020
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • Mkutano wa Kwanza Baraza la pili la Madiwani Wafanyika

    January 29, 2021
  • Mkutano wa Baraza la Madiwani

    January 28, 2021
  • DC Handeni afanya ziara Kata za Kwenjugo na Mdoe

    October 02, 2020
  • Watoto Chini ya Miaka Mitano Wapatiwa Vyeti vya Kuzaliwa Bure

    August 10, 2020
  • Angalia zaidi

Video

Kudhibiti mimba Shuleni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi: 0785 635383

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 HTC.Haki zote zimeifadhiwa