• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Elimu

  • Kupanga na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na Waraka wa utoaji wa elimu ya Awali, Msingi, Sekondari, Mahitaji Maalum na elimu isiyo rasmi. 
  • Kupanga upatikanaji, usambazaji na matumizi ya rasilimali katika shule za Msingi na Sekondari.
  • Kusimamia upimaji endelevu wa Mitihani ya Taifa katika shule za Msingi na Sekondari.
  • Kusimamia utoaji wa elimu ya watu wazima na elimu isiyo rasmi katika ngazi ya Awali, Msingi na Sekondari.
  • Kuratibu elimu ya stadi za maisha katika shule za Msingi na Sekondari.
  • Kufanya tathmini ya mahitaji maalum, elimu ya watu wazima na elimu isiyo rasmi.
  • Kutoa ushauri kuhusu uanzishaji na matengenezo ya vituo vya elimu ya watu wazima na visivyo rasmi.
  • Kusimamia utekelezaji wa Mipango na Programu za elimu ya msingi na sekondari.
  • Kuunda na kutunza kanzidata ya elimu ya Awali, Msingi na Sekondari
  • Kuratibu na kusimamia shughuli za michezo katika shule za Msingi na Sekondari.
  • Huduma ya Kilimo na Mifugo
  • Kukuza mabadiliko na maendeleo ya kilimo na mifugo.
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na udhibiti wa kilimo na Mifugo. 
  • Kupendekeza viwango na bei za bidhaa na huduma zitokanazo na kilimo na mifugo. 
  • Kuandaa mipango na programu fupi na ndefu za maendeleo ya kilimo na mifugo.
  • Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika katika Halmashauri.
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wadau wanaohusika na kilimo na mifugo.
  • Kuandaa taarifa za kilimo na mifugo.
  • Kusimamia ukusanyaji na udhibiti wa mapato ya shughuli za kilimo na mifugo.
  • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Kusimamia shughuli za maendeleo ya jamii katika Halmashauri.
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na Taratibu zinazohusiana na maendeleo ya jamii.
  • Kuwezesha jamii kuanzisha, kupanga, kutekeleza na kutathmini programu na miradi yao wenyewe.
  • Kuandaa mipango na miradi ya muda mfupi na mrefu katika maendeleo ya jamii katika ngazi ya Halmashauri.
  • Kufanya utafiti na kupendekeza namna ya kushughulikia matatizo mbalimbali ya maendeleo ya jamii kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana na wadau wengine.
  • Kuratibu na kusimamia shughuli za watoa huduma wa Taasisi Ndogo za Fedha daraja la nne chini ya maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
  • Kuratibu na kusimamia shughuli za maendeleo ya kiuchumi kwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu.
  • Kuratibu utoaji wa mafunzo ya kuondoa umaskini, UKIMWI, dawa za kulevya na usawa wa kijinsia.
  • Kuratibu na kufuatilia shughuli za NGOs na CBOs katika maendeleo ya jamii.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIKOPO YA 10% HANDENI MJI YAWAONDOA VIJANA WA BODABODA KWENYE MIKATABA KANDAMIZI

    January 07, 2026
  • MADIWANI HANDENI MJI WAASWA KUSIMAMIA MAADILI

    January 07, 2026
  • FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • SHULE YA AMALI MAPINDUZI ILIVYO KIELELEZO CHA MAFANIKIO YA SEQUIP HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.