• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Baraza la Madiwani lafanya mkutano wake wa kawaida kwa kipindi cha robo ya kwanza (Julai-Septemba) 2017/18

Posted on: November 24th, 2017

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Handeni kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 23-24/11/2017 limefanya mkutano wake wa kawaida kwa kipindi cha robo ya kwanza (Julai-Septemba) 2017/2018.

kwa Siku ya kwanza yaani tarehe 23/11/2017 Baraza lilipokea na kujadili taarifa mbalimbali za Maendeleo ngazi ya Kata kutoka kwenye Kata zote kumi na mbili (12) zinazounda Halmashauri ya Mji Handeni.Wakati wa kujadili taarifa za maendeleo ngazi ya Kata imeonyesha Wananchi wengi wakishirikishwa wanajitoa kushiriki shughuli za maendeleo ikiwemo kuchangia nguvu kazi kwenye miradi,Vilevile maeneo mengi ya Halmashauri ya Mji Handeni imeonyesha kuna chakula cha kutosha kutokana na msimu uliopita wananchi kupata mazao ya kutosha.

Siku ya pili Baraza la Madiwani lilipokea na kujadili taarifa za kamati zote zilizopo kwenye Halmashauri ya Mji kwa mujibu wa Sheria,wakati wa kupokea na kujadili taarifa za kamati mambo mawili makubwa yamejotokeza la kwanza migogoro ya Ardhi maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji,Pili uhaba wa watumishi unaoikabili Idara ya Afya.Kuhusu migogoro ya Ardhi Baraza limeazimia kuhakikisha linafuatilia kwa kina kila aina mgogoro na chanzo chake ili kuweza kujiridhisha kama ya kuchukua hatua,na kuhusu upungufu wa watumishia Idara ya Afya Baraza limeishukuru Serikali kwa kuweza kuipatia watumishi tisa (09) kwenye Ajira za hivi karibuni.

Akifunga mkutano wa Baraza hilo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Twaha Mgaya amewaomba wajumbe kuendelea kuhimiza Wananchi kwenye maeneo yao kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiletea Maendeleo.



Picha hapo juu zikionyesha wajumbe mbalimbali wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji ukiendelea

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.