• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI HANDENI LAPOKEA NA KUPITIA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO KWA NGAZI YA KATA KWA KIPINDI CHA ROBO YA NNE(APRIL-JUNE) 2016/2017

Posted on: August 23rd, 2017

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Handeni limepokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo kutoka kwenye Kata kwa kipindi cha Robo ya Nne (April-June) kwa Mwaka wa fedha 2016/2017.Katika kupitia mambo mbalimbali yamejitokeza yanayohitaji kutiliwa mkazo ikiwemo kuelimisha Wananchi juu ya namna ya kujiletea maendeleo.

Katika kupitia taarifa hizo suala la mimba kwa wanafunzi wa kike limejitokeza huku takwimu zikionyesha  kupungua kwa kasi tatizo hilo huku Baraza likipongeza juhudi zinazoonyeshwa na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha kila mtoto anapata Elimu ili kuweza kuliletea Taifa maendeleo.Vilevile suala la Wananchi kushirikishwa kwenye shughuli za maendeleo limepongezwa sana kwa kutoa mifano,Wananchi wa Kata ya Msasa kwa nguvu zao wenyewe wamechonga barabara ambayo kwa sasa inawasaidia katika maeneo yao.

Mkurugenzi wa Halamshauri ya Mji Handeni Bw.Kenneth Haule kupitia Baraza hili amewaomba Wah.Madiwani wote kuhimiza suala la usafi katika maeneo yao,suala la Usafi limeonekana ni changamoto sana ambapo maeneo mengi hasa ya Kata za Mjini yaani Mdoe,Chanika na Vibaoni yana vichaka takataka zimezagaa,kwa kuanzia yeye mwenyewe Mkurugenzi aliwaita Ofisini kwake Watendaji wa Kata hizi na kujadili namna ya kutatua tatizo hilo.Ambapo kwa kuanzia Mwananchi yeyote atakayekaidi kufanya usafi kwenye eneo lake sheria itachukua mkondo wake.

Vilevile Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji amewataka Wenyekiti wa Serikali za Mitaa kuondoa tofauti zao ikiwemo mambo ya chuki,kuhujumiana na kutoaminiana kwa kuitisha mikutano ya Mitaa ili Wananchi wapate nafasi ya kuuliza na kupata ufumbuzi wa matatizo yao,kwa kutoitisha mikutano ya mitaa wanawanyima Wananchi fursa ya kuchangia mawazo yao namna ya kujiletea maendeleo.Amesema Wenyeviti wasioitisha mikutano ya Mitaa mamlaka zao ziwachukulie hatua kali za kisheria.

Baadhi ya Wahe.Madiwani wakipitia makabrasha wakati wa kupokea na kujadili taarifa za maendeleo ngazi ya Kata


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.