• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Bodi mpya ya HUWASA yazinduliwa rasmi na DC GONDWE

Posted on: May 15th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Godwin Gondwe azindua rasmi Bodi mpya ya Mamlaka ya Maji na usafi na Mazingira mjini Handeni HUWASA ambayo imezinduliwa baada ya Mamlaka hiyo kukaa kwa kipindi cha muda mrefu bila kuwa na Bodi.

Mhe Gondwe akizindua bodi hiyo May 14, 2018 yenye Wajumbe saba (7) aliwaagiza wajumbe kuhakikisha wanashughulikia changamoto mbalimbali zinazoikabili Mamlaka ili huduma ya upatikanaji wa Maji kwa Wananchi wa Halmashauri ya Mji Handeni uwe wa asilimia 100.

Pamoja na kusistiza usimamizi wa upatikanaji wa maji kwa wateja Mkuu wa Wilaya Gondwe aliwaasa wajumbe wa Bodi mpya kuhaikikisha wanafanya kazi kwa weledi na kuisimamia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira HUWASA ili iwe mojawapo ya Mamlaka zinazotaoa huduma nzuri nchini.

Wajumbe wa bodi mpya walioteuliwa ni Bw. Zakaria Killo (Mwenyekiti), Bw.Kenneth Haule (Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni ), Bw. Mjinja Charles (Meneja wa Mamlaka ya Maji), mhe. Saleh Sebo (Mwakilishi wa Madiwani), Bw. Adam Msiraji (Mjumbe), Mwenjuma Mbega (mjumbe), Anna Mwagilo (mjumbe).

Akizungumza kwenye uzinduzi huo,Bw.Zakaria Killo (Mwenyekiti wa Bodi) amewaomba Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Mji kuendelea kuwapa ushirikiano pale inapohitajika maana mamlaka inaonekana bado ina changamoto sana.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni mhe.Twaha Ally Mgaya akizungumza kwenye uzinduzi wa Bodi ya HUWASA

Bw.Kenneth Haule Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Handeni akizungumza kwenye uzinduzi wa HUWASA

DC Gondwe akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wageni waalikwa kwenye uzinduzi wa Bodi ya HUWASA

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIKOPO YA 10% HANDENI MJI YAWAONDOA VIJANA WA BODABODA KWENYE MIKATABA KANDAMIZI

    January 07, 2026
  • MADIWANI HANDENI MJI WAASWA KUSIMAMIA MAADILI

    January 07, 2026
  • FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • SHULE YA AMALI MAPINDUZI ILIVYO KIELELEZO CHA MAFANIKIO YA SEQUIP HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.