• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

HALMASHAURI YA MJI HANDENI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA MAJI KUTOKA KWENJUGO MPAKA MALEZI

Posted on: November 7th, 2017

Halmashauri ya Mji Handeni kwa kushirikiana na Kampuni ya Dar es salaam M/S MACDONALD CIVIL ENGINEERING AND BUILDING CONSTRACTOR wameweka makubaliano kwa kutia saini kuanza ujenzi wa miundombinu ya Maji kutoka Kata ya Kwenjugo mpaka Kata ya Malezi.

Mradi huo unatarajia kugharimu Tshs.milioni 518,532,710 na kwamba unatarajiwa kujengwa ndani ya miezi 6.

Akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba huo,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni Mhe.Twaha Ally Mgaya amesema lengo ni kuhakikisha Wananchi wa Kata ya Malezi na maeneo yote ambapo mradi umekusudiwa kupita na kutoa huduma ya Maji wananufaika kwa kupata Maji ya uhakika na si vinginevyo,Vile vile amemtaka mkandarasi kuhakikiksha anakamilisha mradi kwa wakati kutokana na mkataba unavyotaka ili kuwanusuru Wananchi na kero ya ukosefu wa Maji ya Uhakika kwa kipindi cha muda mrefu.Mhe Mwenyekiti pia amemshauri mkandarasi kuhakikisha anakuwa karibu wakati wa utekelezaji wa mradi huo ili kuepuka dosari mbalimbali zinazoweza kujitokeza kuliko kuwategemea wasaidizi wake kaswa kiasi kikubwa ambapo uzoefu unaonyesha mara nying wasidizi wengi siyo waaminifu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni Bw.Kenneth Haule amemtaka mkandarasi kutambua kwamba Wananchi wa Kata ya Malezi wana shauku kubwa na mradi huo na matarajio yao makubwa ni kuona mradi huo unawakomboa kutoka kwenye kero ya muda mrefu ya ukosefu wa Maji ya uhakika,Hivyo basi mkandarasi ni lazima atekeleze mradi kwa viwango vinavyokubalika kutokana na mkataba na kuhakikisha mradi ukikamilika Wananchi wanapata Maji,Bila mradi kutoa Maji baada ya kukamilika itakuwa aina maana hata ajenge miundombinu mizuri ya namna gani.

Akizungumzia mradi huo Kaimu Mkuu wa Idara ya Maji Halmashauri ya Mji Handeni Mhandisi Dismas Kway amesema usanifu wa mradi huo ulifanyika kwa kushirikiana na Wataalam kutoka Wizara ya Maji ambapo walijiridhisha kwamba mradi huo utakaokuwa una jumla ya vituo 15 vya kutolea huduma ukikamilika utaleta tija kwa wananchi na wakazi ya Kata ya Malezi kwa kiasi kikubwa.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni Mhe.Twaha Ally Mgaya kwenye hafla ya kusain mkataba

Bw.Richard Unambwe (katikati) Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji Handeni akifafanua jambo kwenye mkataba

Mwakilishi wa Kampuni ya MACDONALD (mwenye kofia) akifuatilia mjadala wakati wa hafla hiyo

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.