• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

HALMASHAURI YA MJI HANDENI YAZINDUA MAFUNZO MAALUM YA USIMAMIZI WA MIKOPO

Posted on: October 7th, 2024

Oktoba 7, 2024,

Na Job Karongo, Handeni-TC


Halmashauri ya Mji Handeni imezindua mafunzo maalum ya usimamizi na utoaji wa mikopo kwa Kamati za Usimamizi wa Mikopo za Kata. Mafunzo haya yamehusisha kamati kutoka kata zote 12 zinazounda Halmashauri ya Mji Handeni, yakilenga kuimarisha uwezo wa kamati hizo katika kusimamia utoaji wa mikopo kwa ufanisi na uadilifu.


Mada kuu iliyojadiliwa katika mafunzo hayo ilikuwa ni muongozo na kanuni za usimamizi wa mikopo kwa makundi maalum, yakiwemo Wanawake, Vijana, na Watu wenye Ulemavu. Mafunzo haya yanalenga kuhakikisha makundi haya yanafaidika ipasavyo na mikopo inayotolewa kwa asilimia 10, kama inavyoelekezwa na Serikali.


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji handeni, Bw. Gerald Kauki, amesisitiza umuhimu wa uadilifu na uwajibikaji katika usimamizi wa mikopo hiyo. Ameeleza kuwa mafanikio ya mpango huu yanategemea utawala bora, na akaongeza kuwa jukumu kubwa la kamati ni kuhakikisha rasilimali za mikopo zinasimamiwa kwa weledi ili kuwafikia walengwa waliokusudiwa.


Kwa upande wake, Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii, Bwana Fredy Mpondachuma, amesisitiza kuwa kamati hizi zinapaswa kufanya kazi kwa ufanisi ili kufikia matarajio ya Serikali na wananchi. Aidha, ameahidi kuzisimamia kwa ukaribu kamati hizo ili kuhakikisha zinafuata maelekezo na taratibu zilizowekwa.


Wajumbe wa kamati walioshiriki mafunzo wameonyesha nia ya dhati ya kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi, wakiahidi kuhudumia wananchi kwa umakini na kuwafikia walengwa kwa usawa. Pia, Kaimu Mkurugenzi ameweka wazi kuwa ni muhimu kuhakikisha kwamba walengwa wote, hata wale walioko mbali na makao makuu ya kata, wanapata fursa ya kupewa mikopo bila upendeleo.


Mafunzo haya yanatoa mwongozo thabiti katika kusimamia rasilimali za mikopo kwa makundi maalum na yanaweka msingi wa kuongeza ufanisi katika utoaji wa mikopo kwa walengwa wenye mahitaji.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.