• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Kamati ya Fedha na Uongozi yatembelea Miradi ya Maendeleo

Posted on: September 17th, 2018

Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Mji Handeni imefanya ziara ya kikazi kwa kutembelea miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Ziara hiyo imeongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri mhe.Twaha Ally Mgaya imezuru katika miradi hiyo kwa lengo la kujionea hali halisi ya shughuli mbalimbali zinazoendelea ikiwemo Ujenzi.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa na kamati hiyo ni kuona ujenzi wa mradi wa Maji Kata ya Malezi ambapo kwa asilimia kubwa ya mradi huo umekamilika baada ya kamati kushuhudia baadhi ya Wananchi wa Malezi wakipata huduma ya Maji kutoka kwenye mradi huo ikiwa na hatua za majaribio.Vile vile kamati imetembelea mradi wa Ujenzi wa Jengo la Ofisi la Halmashauri ya Mji ambapo mkandarasi wa mradi huo Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wamesisitiza kukamilisha mradi huo kwa wakati.

Miradi mingine ni kuona hali halisi ya ujenzi wa maabara ya Sayansi Shule ya Sekondari Kileleni,sawia na ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Shule ya Msingi Kweinjugo,Pongwe na Lumbizi.Vile vile kamati imetembelea eneo la ujenzi wa Zahanati ya Msaje.

Wananchi wa Malezi wakipata huduma ya Maji Wakati kamati ya Fedha na Uongozi ilipofanya ziara kwenye eneo la mradi.

Mkurugenzi wa Halmashauri bw.Kenneth K.Haule akifafanua jambo mbele ya kamati ya Fedha na Uongozi wakati wa ziara

Tenki kubwa la kuhifadhia Maji lililojengwa kwenye mradi wa Maji Malezi.

Ujenzi wa jengo la Ofisi ya Halmashauri ya Mji Handeni ukiendelea

Mwl.Mkuu msaidizi wa Shule ya Msingi Pongwe Bi.Fatuma akisoma taarifa ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa mbele ya wajumbe wa kamati ya Fedha

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.