• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Kamati ya fedha na Uongozi yatembelea miradi ya maendeleo

Posted on: August 20th, 2019

Kamati ya fedha na uongozi ya Halmashauri ya Mji Handeni mnamo tarehe 15 -16/08/2019 imefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa.

Ziara hiyo imeongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri mhe.Twaha Ally Mgaya.katika ziara hiyo kamati ilishiriki na Wananchi wa Kata ya Malezi kwenye zoezi la kuchimba msingi kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari katika eneo hilo.

Vile vile kamati ilitembelea ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za msingi tarajali Kwelale ambapo chumba kimoja cha darasa na Ofisi ya walimu vimekamilika, mpakani ambapo vyumba viwili vimekamilika kamati iliruhusu vianze kutumika ili kupunguza changamoto ya umbali kwa wanafunzi ambao wanasoma shule msingi Kwediyamba.

Kamati pia ilitembelea mradi wa kiwanda cha uzalishaji chaki kutoka kwa kikundi cha CAMA kikundi hiki kinafadhiliwa na CAMFED ambapo pia Halmashauri imetoa mchango wake kuhakikisha vijana hao wanapata soko la chaki wanazozalisha kupitia Shule za msingi na Sekondari.

Wananchi wa Kata ya Malezi wakichimba msingi kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari Malezi .

Muonekano wa chumba cha darasa na Ofisi ya Walimu katika shule ya msingi tarajali Kwelale vimekamilika tayari kwa matumizi

Muonekano wa matundu ya vyoo katika shule ya msingi Kiseriani yakiwa tayari yameanza kutumika

Kiwanda cha kuzalisha chaki cha kikundi cha CAMA kilichopo mitaa ya bomani kilipotembelewa na kamati ya fedha.

Wajumbe wa kamati ya fedha na uongozi wakipokea taarifa katika Shule ya msingi tarajali kwelale wakati wa ziara.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.