• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Kuelekea siku ya muungano, Halmashauri ya Mji Handeni yafanya usafi

Posted on: April 24th, 2023

Leo Jumatatu tarehe 24/04/2023 Halmashauri ya Mji Handeni imefanya zoezi la usafi wa mazingira Kuelekea kilele cha maadhimisho ya 59 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wenye kauli mbiu “Umoja na mshikamano ndio nguzo ya kukuza uchumi wetu”, katika maeneo mbalimbali yanayozunguka makazi ya watu, maeneo ya kutolea huduma ikiwemo Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni na maeneo ya biashara. Viongozi, watumishi na wananchi kwa ujumla wamejumuika katika zoezi hilo.

Watumishi wa Halmashauri ya Mji Handeni, wakifanya usafi wa mazingira katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni

Akizungumza na waliohudhuria zoezi hilo Afisa Afya wa Halmashauri ya Mji Handeni Ndugu.Jonas Mkondya, amewasisitiza wakazi wa Halmashauri ya Mji Handeni, kuhakikisha kuwa wanaweka mazingira safi na kusambaratisha mazalia yote ya mbu kwa kufyeka nyasi, kusambaratisha madimbwi, kuondoa chupa zilizowazi na vyombo vyote vinavyotumika kuhifadhia maji vifunikwe ili kudhibiti mazalia ya mbu na hatari ya kupata ugonjwa wa malaria hususani katika kipindi hiki cha mvua.

Nae mganga mkuu wa Halmashauri ya Mji Handeni Dokta.Feisal Said, ameishukuru ofisi ya mkuu wa wilaya kwa kujumuika pamoja katika zoezi la usafi lililofanyika kataka hospitali ya wilaya ya Handeni, pia amewasisitiza wakazi wote wa Halmashauri ya Mji Handeni kufanya zoezi la usafi kuwa ni endelevu kwa siku zote.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni Ndugu.Gerald Kauki akiongea na watumishi waliojumukia katika usafi uliofanyika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni

Kaimu Mkurugenzi amewataka wananchi kuhakikisha kuwa wanatunza mazingira kwa kufanya usafi, kupanda miti kwa wingi katika kipindi hiki cha mvua na kuepuka ukataji hovyo wa miti, pia Ndugu.Gerald Kauki amewashukuru watumishi wote waliojumuika katika usafi huo kwani wameendelea kutoa ushirikiano katika shughuli mbalimbali  za kijamii na kuwasihi kuendelea na mshikamano huo, kama ilivyo katika kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya muungano wa Tanganika na Zanzibar “Umoja na mshikamano ndio nguzo ya kukuza uchumi wetu”.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.