• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Maadhimisho ya Juma la Elimu Mkoa wa Tanga Yafana.

Posted on: April 29th, 2019

Maadhimisho  ya Juma la Elimu  Mkoa wa Tanga yamefanyika kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 26-27/04/2019 katika Wilaya ya Handeni.Katika maadhimisho hayo wadau mbali mbali wa Elimu wa Mkoa wa Tanga Wakiongozwa na Mhe.Martine Shigela (Mkuu wa Mkoa wa Tanga) walipata fursa ya kutembelea miradi ya Elimu ikihusisha Ujenzi wa vyumba vya madarasa, maabara, mabweni pamoja na shamba la Shule la takribani ekari ishirini lenye mazao mbali mbali ya chakula na biashara.

Mh. Shigela alipotembela shamba la shule ya Sekondari ya Komnyang’anyo lenye ekari zaidi ya 20 iliyopandwa mihogo, mahindi na korosho aliagiza kila Halmashauri kuiga mfano huo ili kuondokana na uhaba wa chakula shuleni kwani upatikanaji wa chakula una uhusiano mkubwa katika ufaulu wa wanafunzi.

Katika kikao cha tathmini ya maendeleo ya Elimu ya Mkoa Mh.Shigela alitaka kila ngazi ya Uongozi katika kila Halmashauri kufanya tatmini ya Elimu kila mara ili kujua changamoto za maendeleo ya Elimu mapema na kuzitatua kwa wakati ikiwemo suala la upatikanaji wa chakula shuleni, utoro wa wanafunzi, suala la mimba kwa wanafunzi na maendeleo ya taaluma na michezo.

Katika Maadhimisho hayo Mhe.Shigela aligawa zawadi kwa Shule, Wanafunzi pamoja na Walimu waliofanya vizuri kwenye sekta mbali mbali za Elimu.

RC Shigela akiwa na Wadau wa Elimu kwenye Shamba la Shule ya Sekondari Komnyang'anyo kwenye maadhimisho ya Juma la Elimu.

Mhe.Twaha Mgaya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni akishiriki Shughuli ya Ujenzi kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu.

Bw.Kenneth Haule Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji handeni akiwasilisha taarifa ya tathimini ya Elimu katika maadhimisho ya Juma la Elimu

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.