• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Mkurugenzi Maryam A. Ukwaju apongezwa kwa Hati Safi

Posted on: April 28th, 2023

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Handeni Mji Mh.Mussa Abeid Mkombati wakati akifungua kikao cha Baraza la Madiwani leo tarehe 28-04-2023.

"Nitumie fursa hii kukupongeza sana Mkurugenzi Bi.Maryam Ukwaju, mpaka mwezi machi ulishafikia 78% ya ukusanyaji mapato na kuipelekea Halmashauri kuongoza kimkoa,umepeleka fedha za mapato ya ndani kwenye miradi ya maendeleo kama inavyotakiwa na sasa tumepata hati safi, natambua usimamizi wako wa karibu kwa watumishi wako, kasi kubwa ya ukusanyaji mapato, ndio sababu ya haya yote. Hongera sana" alisema.

Kuhusu fedha zilizotolewa na serikali kuu kupitia mradi wa BOOST kiasi cha shilingi Bilioni moja, milioni mia nne hamsini na sita na laki mbili pamoja na fedha kiasi cha shilingi milioni mia tisa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la dharura(EMD) na ukarabati wa hospitali ya wilaya ya Handeni, Mh.Mkombati alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwathamini wananchi wa Handeni Mji.

Aidha alitumia fursa hiyo kumpongeza Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Albert Msando kwa kufanyia kazi kero za wananchi kwa wakati, akitolea mfano kupokea na kulifanyia kazi ombi la waheshimiwa madiwani la kuwekewa matuta barabarani ili kupunguza ajali za kugongwa kwa wanafunzi wanaosoma shule za msingi Chanika na Mshikamano.

Akizungumzia kuhusu suala la ukatili kwa watoto na mapenzi ya jinsia moja, Mh. Mkombati amelaani vikali vitendo hivyo vya mmomonyoko wa maadili katika jamii na kuwaomba viongozi wa dini kufanya maombi ya kitaifa kuliombea Taifa hili kama ambavyo wamekuwa wakifanya yanapotokea majanga ya corona ili kulinusuru taifa na changamoto ambayo inakwenda kuliondolea nguvu kazi za vijana.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni Bi. Maryam Ukwaju amemtaka kila mtu kwa nafasi yake kule aliko katika jamii tunazoishi kukemea vitendo hivi vya mmonyoko wa maadili, wananchi washiriki katika maelezi ya watoto, wasiwaache watoto bila uangalizi

"Tuwe sehemu ya kutoa elimu katika maeneo tuliyopo, mikutano ya hadhara, mikutano ya kata, popote pale tukatoe elimu kuhusu maadili na malezi ya watoto" alisisitiza.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.