• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

RC Shigela atia neno "Handeni One Stop Jawabu"

Posted on: December 13th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Tanga , Mhe Martine Shigela ameipongeza Wilaya ya Handeni kuwa ya Kwanza kutekeleza agizo lake la kutenga muda maalum wa kusikiliza na kutatua kero mbali mbali za Wananchi.

Shigela ametoa kauli hiyo leo Desemba 13, 2019 wakati akiwahutubia wakazi wa Handeni waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya Handeni Square kupata huduma mbalimbali za kijamii pamoja na kupatiwa ufumbuzi wa kero mbali mbali kwenye tukio la "Handeni One Stop Jawabu" iliyoanza toka tarehe 09 - 13 Desemba, 2019.

Katika tukio hilo Taasisi za Umma pamoja na binafsi zimejitokeza kwa wingi, taasisi za Umma zilizojitokeza kuhudumia Wananchi ni NIDA, RITA, TANESCO, TCRA, NHIF, MADINI, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Uhamiaji, TARURA, RUWASA, TTCL,  pamoja na Idara za Halmashauri zote mbili yaani Halmashauri ya Mji na Wilaya Handeni.Taasisi binafsi zilizojitokeza ni NMB, CRDB, VODACOM, TIGO,

Vile vile Mkuu wa Mkoa ameagiza utaratibu wa kusikiliza kero za Wananchi ushuke mpaka ngazi za chini kuanzia Tarafa, Kata, Mtaa pamoja na vitongoji huku akisisitiza Watumishi wa Umma kuwajali wananchi kwa kuwasikiliza kero na kutotoa kauli zenye kuudhi pindi wanapotoa huduma.

Akitoa taarifa ya tathimini ya zoezi hilo Mkuu wa Wilaya ya handeni mhe.Godwin Gondwe kwanza amewapongeza watumishi wote waliofanikisha zoezi hilo bila kusahau wafanyabiashara ,amesema jumla ya takribani watu 35,000 wamepatiwa huduma katika eneo hilo kuanzia tarehe 9-12 Desemba, 2019.

Mwenyeji wa Shughulia hii ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni bw.Kenneth Haule amewashukuru sana Wananchi wa Handeni kwa kutoa ushirikiano wa kutosha toka zoezi hilo lilipoanza tarehe 9/12 mpaka leo tarehe 13/12/2019 "Mwanzo tulidhani tukio hili lingekuwa dogo lakini mpaka sasa tumegundua tukio hili ni kubwa sana takribani zaidi ya watu 34,000 wamehudumiwa" amesema Haule.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga mhe.Martine Shigela akipima uzito na Urefu wake kwenye tukio "Handeni One Stop Jawabu" 

Mkuu wa Mkoa akisikiliza baadhi ya kero kutoka kwa baadhi ya Wananchi kwenye tukio la "Handeni One Stop Jawabu"






Baadhi ya picha za matukio mbali mbali kwenye kilele cha "Handeni One Stop Jawabu" kwenye viwanja vya Handeni Square.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.