• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

RC Tanga Aipongeza Halmashauri kwa kuendelea kupata Hati safi

Posted on: July 4th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Martine Shigela ameipongeza Halmashauri ya Mji Handeni kwa kuendelea kupata hati safi. Ameyasema hayo kwenye Baraza maalum la Madiwani la kujadili na kupitia hoja za Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG).

"Mwaka huu kama Mkoa hatuji tu kwa maana kwenye Ukaguzi. Baada ya taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) kutolewa tuliitisha kikao cha Wakurugenzi,Weka hazina pamoja na Wakaguzi wa ndani ili kila Halmashauri kupata picha ya taarifa yao waliyoipata katika ripoti ya Mwaka huu," amesema Shigela.

Amesema Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itaendelea kushirikiana kwa karibu na Halmashauri ili kuhakikisha hoja nyingi zinazoibuliwa na CAG zinapatiwa majibu kwa wakati ili zisijirudie kwa wakati mwingine maana imeonekana hoja nyingi zinajirudia kila mwaka.

Mbali na hilo,amepongeza jitihada zinazofanywa uongozi wa Halmashauri kwa kuendelea kusimamia vyema matumizi fedha za Serikali hasa zinazoguza maslahi wa Wananchi moja kwa moja mfano miradi ya maendeleao inayotekelezwa kwenye maeneo mbalimbali.

Vile vile ameigiza Halmashauri kuendelea kusimamia kwa makini kwenye suala la ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha inadhibiti mianya yote ya ukwepaji kodi ikiwemo kuongeza mashine za kukusanyia ushuru kwa njia ya kielektroniki (POS) kutoka kumi na nne (14) za sasa mpaka thelathini (30).

Kuhusu Maji amesema anaipongeza Halmashauri kwa kuendelea kufanya ukarabati wa vituo vya kuchotea Maji kwa kuwawezesha Wananchi kupata huduma hiyo kwa urahisi,kwa kuliona hilo Serikali mwaka huu wa fedha imetenga zaidi ya bilioni 200 kwenye mradi HTM ambapo tayari tenda imetangazwa muda wowote kuanzia sasa ukarabati wa miundombinu ya Maji mjini Handeni utaanza.

Kuhusu Elimu amesema baada ya Serikali kundelea kutoa Elimu bila malipo wazazi wamekuwa na muitikio mkubwa wa kupeleka watoto Shule matokeo yake kumeibuka changamoto ya upungufu wa miundombinu ya Madarasa,Ofisi, Maabara pamoja na matundu ya vyoo.amewaomba wahe.Madiwani kuweka utaratibu wa kushirikisha jamii kwenye utatuzi wa changamoto hizo ikiwemo kuanzisha hata utaratibu wa michango.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halamshauri mhe.Twaha aliwapongeza wahe.Madiwani,wakuu wa Idara na Vitengo kwa kuiwezesha Halmashauri kuendelea kupata hati .

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela akizungumza kwenye Baraza maalum la kujadili hoja za CAG

Mkurugenzi wa Halmashauri Bw.Kenneth Haule akitoa maelezo kwenye baraza la maalum la kujadili hoja za CAG

Mwenyeki wa Halmashauri Mhe.Twaha Mgaya akizungumza jambo kwenye Baraza hilo

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.