• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

SIKUKUU YA EID EL ADHA Taasisi ya Islamic Help yatoa ng'ombe 1600 HANDENI

Posted on: June 30th, 2023

Shirika la Islamic Help linalojihusisha na utoaji misaada, yenye makao yake makuu nchini Uingereza, limetoa msaada wa ng'ombe zaidi ya 350 kwa wanachi katika Halmashauri ya mji Handeni na ng'ombe 1600 kwa mkoa wa Tanga kiujumla, kwa ajili kitoweo katika kusheherekea sikukuu ya Eid Al Adha.

Akizungumza wakati wa kuwashukuru wahisani hao, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni, Mh.Mussa Abeid Mkombati(Diwani) amesema, uhusiano mzuri wa kimataifa uliojengwa na unaoendelea kujengwa na Rais wa awamu ya sita Mh.Dkt. Samia Suluhu Hassan kati ya nchi yetu na nchi nyingine ndio uliowashawishi wahisani kuiona Handeni na kuja kuleta msaada huo.

Mratibu msaidizi wa zoezi la ugawaji nyama kutoka Islamic Help, Habibu Mbota kulia,akizungumza mbele ya Mwenyekiti waHalmashauri ya Mji Handeni Mh.Mussa Mkombati(Diwani)

Nae Katibu Mtendaji wa shirika hilo, Mustafa Emim Saglam amesema mbali na kutoa msaada wa kitoweo hicho katika kipindi hiki cha sikukuu, pia wamekuwa wakitoa msaada wa kuchimbia visima vya maji katika maeneo mbalimbali wilayani Handeni, kazi ambayo wanaendelea nayo.

Kwa upande mwingine, Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Mji Handeni Athumani Kitabala amewahakikishia wananchi kuwa kila Ng'ombe hupimwa afya yake kabla ya kuchinjwa na nyama hukaguliwa baada ya Ng'ombe kuchinjwa, hivyo kitoweo wanachogaiwa ni salama kwa afya ya mlaji.

Wananchi wa Kata ya Kwamagome wakimsikiliza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni, Mh.Mussa Mkombati(Diwani), hayupo pichani,wakati wa zoezi la ugawaji nyama.

Wakati huohuo wananchi wa maeneo mbalimbali mjini Handeni, wameishukuru Taasisi hiyo kwa kushirikiana na viongozi wao katika Halmashauri ya Handeni Mji kwa kufanikisha msaada huo kuwafikia katika kipindi hiki cha sikukuu.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIKOPO YA 10% HANDENI MJI YAWAONDOA VIJANA WA BODABODA KWENYE MIKATABA KANDAMIZI

    January 07, 2026
  • MADIWANI HANDENI MJI WAASWA KUSIMAMIA MAADILI

    January 07, 2026
  • FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • SHULE YA AMALI MAPINDUZI ILIVYO KIELELEZO CHA MAFANIKIO YA SEQUIP HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.