• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

TAKUKURU HANDENI BEGA KWA BEGA NA BOOST

Posted on: May 10th, 2023

Ofisi ya Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Handeni, imefanya kikao na wasimamizi wa miradi ya ujenzi ya miundombinu ya shule inayo gharamiwa na serikali kupitia mradi wa BOOST.

Lengo la kikao hicho ni kuwaelekeza wasimamizi wa miradi hiyo taratibu mbalimbali zinazopaswa kufuatwa kuanzia hatua za awali za ujenzi mpaka mradi utakapokamilika.

Akizungumza wakati wa kikao hicho, Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Handeni Richard Kapungu, alisema "Leo tunaelekezana katika hali ya kirafiki, uelewe majukumu yako, umeletewa fedha za serikali, zisimamie, kamati zisiingiliane, ukishindwa kutimiza majukumu yako, tutarudi kwako kwa sura nyingine".

Nae Afisa kutoka TAKUKURU, Mhandisi Patrick Katemba aliwasisitizia wasimamizi hao kuhakikisha kasi ya ukamilishaji miradi hiyo, iendane na ubora, na hivyo kamati zilizoundwa katika kila mradi zitambue kuwa zinategemeana, kulegalega kwa kamati moja ni kulegalega kwa mradi mzima.

Halmshauri ya mji Handeni imepatiwa kiasi cha shilingi bilioni 1.4 na serikali kuu kupitia mradi wa BOOST kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi na awali. Na ujenzi wa miundombinu hiyo kwenye maeneo mbalimbali umeshaanza na unaendelea kwa kasi.

Matangazo

  • TOA MAONI/MALALAMIKO KATIKA OFISI ZA HALMASHAURI May 28, 2023
  • TANGAZO LA KAZI UJENZI WA JENGO LA DHARURA (EMD) HOSPITALI YA WILAYA HANDENI February 16, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WaterAid TANZANIA YAFANYA MAKUBWA HANDENI

    May 28, 2023
  • JKT YATANGAZA VIJANA WA KIDATO CHA SITA KURIPOTI MAKAMBINI

    May 25, 2023
  • TAKUKURU HANDENI BEGA KWA BEGA NA BOOST

    May 10, 2023
  • Ziara ya Mwenyekti wa Halmashauri ya Mji Handeni kwenye nyumba za ibada yaendelea

    May 14, 2023
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.