• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Maadili ya Msingi

Uongozi: Halmashauri imejipanga kutoa kiwango cha juu kabisa cha uongozi wa kiraia na utendaji bora kwa ajili ya kuboresha maisha ya jamii yetu

Ushirikishwaji wa Jamii: Halmashauri inahimiza ushiriki na ushirikiano wa jamii katika shughuli za Halmashauri na kuthamini mchango wa kila mtu katika masuala ya uongozi, utoaji wa huduma, uibuaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Usawa na Uwazi: Uthabiti na uwazi ni msingi muhimu katika maamuzi na taratibu za Halmashauri ili kuhakikisha haki kwa sekta zote za jamii.

Ubora: Halmashauri inalenga kuboresha kwa kuendeleza tija, huduma, miundombinu na taratibu zake, na kujenga sifa ya umahiri ndani ya uwezo wake wa kifedha ili kuinua ubora wa maisha ya jamii kwa njia endelevu kiuchumi.

Uharaka wa Majibu: Halmashauri inalenga kujibu kwa haraka mahitaji na matarajio ya wananchi wake.

Maendeleo Endelevu: Halmashauri imejizatiti kusimamia ipasavyo mali na miundombinu yake ili kuwezesha maendeleo yanayozingatia uchumi, mazingira na ustawi wa kijamii kwa manufaa ya jamii.

Uwazi wa Masharti: Halmashauri itahakikisha kwamba, kadiri itakavyowezekana, Kanuni, Sheria ndogo na taratibu zake za utekelezaji ni rahisi, wazi na sahihi.

Uwajibikaji: Halmashauri itatekeleza na kuendesha shughuli zake za kila siku kwa mujibu wa Sheria kutegemeana na uwezo wa kifedha kwa wakati huo ili kuhakikisha maendeleo endelevu kwenye jamii husika. 

Wajibu: Halmashauri itasimamia wadau wake wakiwemo Watumishi, Madiwani na wadau wengine wa maendeleo ili kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi, bidii, nidhamu na uaminifu.

Migongano ya Maslahi: Madiwani na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Handeni watatakiwa kujiepusha na migongano ya maslahi binafsi katika shughuli za Halmashauri, watatakiwa kujiongoza na kujituma na kutii sheria za nchi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIKOPO YA 10% HANDENI MJI YAWAONDOA VIJANA WA BODABODA KWENYE MIKATABA KANDAMIZI

    January 07, 2026
  • MADIWANI HANDENI MJI WAASWA KUSIMAMIA MAADILI

    January 07, 2026
  • FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • SHULE YA AMALI MAPINDUZI ILIVYO KIELELEZO CHA MAFANIKIO YA SEQUIP HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.