• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

Mh. Mussa Mkombati afanya ziara kwenye nyumba za ibada zilizopo Halmashauri ya Mji Handeni

Posted on: April 30th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni Mh.Mussa Abeid Mkombati(Diwani) leo Jumapili ya tarehe 30-04-2023 ameanza ziara ya kutembelea nyumba za ibada na taasisi za elimu ikiwa ni utekelezaji wa azimio la baraza la waheshimiwa madiwani lilofanyika siku mbili zilizopita.

Akiwa katika ziara hiyo, Mh.Mkombati amewaomba viongozi wa dini kuliombea taifa ili Mwenyezi Mungu aweze kuliepusha taifa hili dhidi ya mmomonyoko wa kimaadili hususani suala zima la ushoga na ndoa za jinsia moja.

Akizungumzia kuhusu ukatili wa kijinsia kwa watoto, Mh.Mkombati amewasihi waumini hao kuzungumza na watoto wao juu ya uthamani wa miili yao na pindi mtu akitaka kuwashika maeneo ya kifua, sehemu za siri na kwenye makalio wakatae kwa kusema “SITAKI” na wawaambie watoto hao kutoa taarifa kwao wazazi bila woga, nao wazazi wapatapo taarifa hizo wachukue hatua haraka ya kutoa taarifa polisi ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.

“Inasikitisha kuona ndani ya Handeni, leo hii wapo wazazi ambao wanawabaka na kuwalawiti watoto wanaowalea wenyewe. Niwaombe sana waumini, siwakatazi kuwapokea wageni kwenye nyumba zenu, lakini mgeni anapofika nyumbani kwako, na una watoto wadogo, chukua watoto wako lala nao mwenyewe. Ndugu zangu, taarifa nyingi zinaonyesha watoto wetu wanaharibiwa na watu wetu wa karibu ambao huwezi hata kuwafikiria vibaya. Tujihadhari sana” alisisitiza

 Ziara hii ya Mheshimiwa Mkombati iliyoanza saa 12 asubuhi imefanikiwa kutembelea zaidi ya makanisa 7 kwa siku ya leo na itaendelea kwenye nyumba za ibada nyingine katika siku za hivi karibuni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUFUNGULIWA DIRISHA LA MIKOPO KWA MAKUNDI MAALUMU YA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 20, 2026
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA SHILINGI 260,883,417/= KWA MCHANGANUO WA MFUKO WA JIMBO TSHS 60,706,000,000/= NA MATUMIZI YA KAWAIDA TSHS 200,177,417.00 KUTOKA SERIKALI KUU KWA MWEZI DISEMBA 2025 January 20, 2026
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIKOPO YA 10% HANDENI MJI YAWAONDOA VIJANA WA BODABODA KWENYE MIKATABA KANDAMIZI

    January 07, 2026
  • MADIWANI HANDENI MJI WAASWA KUSIMAMIA MAADILI

    January 07, 2026
  • FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • SHULE YA AMALI MAPINDUZI ILIVYO KIELELEZO CHA MAFANIKIO YA SEQUIP HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.