• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

DC Gondwe atia mguu zawadi kwa Mfanyakazi hodari Mei Mosi

Posted on: May 1st, 2018

Wakati Wafanyakazi Duniani kote wakiadhimisha siku yao (Mei Mosi), Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe amewaagiza waajiri kuhakikisha zawadi kwa Wafanyakazi hodari zinapatikana kwa wakati na si vinginevyo.

Gondwe ametoa agizo hilo wakati wa maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani kiwilaya yaliyofanyika kwenye viwanja vya soko la zamani Chanika ambapo yeye amealikwa kama mgeni rasmi.

"Kumekuwepo na malalamiko mengi toka kwa watumishi hodari kwa kipindi cha miaka ya nyuma kutopewa zawadi zao mpaka wanakata tamaa sasa nawaagiza waajiri kutoka Halmashauri zote mbili yaani Wilaya na Mji kuwapa stahiki zao kwa wakati na ninaahidi mbele ya maadhimisho haya nitafuatilia suala hili kwa karibu zaidi"

Kuhusu Watumishi kupandishwa vyeo na nyongeza ya mishahara, Gondwe amesema kwa upande wa Halmashauri ya Mji Handeni Serikali imetenga jumla ya nafasi 383 za watumishi kupandishwa vyeo, kwa hiyo watumishi wasiwe na wasiwasi waendelea kufanya kazi kwa bidii kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa kauli mbiu yake ya hapa kazi tu.

Akizungumzia agizo hilo, Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Thomas Mzinga amesema Ofisi yake itahakikisha kabla ya tarehe 05/05/2018 kila Mfanyakazi hodari atakuwa amepatiwa zawadi yake kama ilivyotangazwa.

Pichani:Mfanyakazi hodari toka Halmashauri ya Mji Handeni Bi.Grace Gambadu akipongezwa na Watumishi wenzake kwenye maadhimisho ya Mei Mosi

pichani:Mfanyakazi hodari bw.Hassan Mhina akipongezwa na Watumishi wenzake kwenye maadhimisho ya Mei Mosi

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • DC HANDENI AWAAGIZA WAKUU WA SHULE KUELEKEZA NGUVU KWENYE MAADILI NA UFAULU

    July 26, 2025
  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.