• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

DC NYAMWESE: HANDENI TUPO MGUU SAWA UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: January 6th, 2026

Na Mwandishi Wetu, Handeni TC

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amesema wilaya hiyo imejipanga kikamilifu kuhakikisha wananchi wanahamasika kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote ili kuwa na uhakika wa kupata huduma bora za matibabu.

Akizungumza mjini Handeni, Mhe. Nyamwese amesema kuwa katika wilaya hiyo yenye Halmashauri ya Mji Handeni na Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Serikali imewekeza kwa kiasi kikubwa katika ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya kutolea huduma za afya.

Amesema kuwa katika kuhakikisha wananchi wananufaika na bima ya afya kwa wote, wilaya imejiandaa kikamilifu kwa kuweka mazingira wezeshi ya utoaji huduma ikiwemo upatikanaji wa vituo vya afya, vifaa tiba, dawa pamoja na rasilimali watu.

“Wilaya yetu tumejipanga na tuna mikakati madhubuti ya kuhakikisha tunamsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kutimiza ahadi yake kwa Watanzania ya kuhakikisha wanapata huduma bora za afya kupitia bima ya afya kwa wote,” amesema Mhe. Nyamwese.

Amebainisha kuwa ndani ya wilaya ya Handeni kuna jumla ya vituo 84 vya kutolea huduma za afya ambavyo vimepatiwa vifaa tiba kulingana na ngazi ya utoaji huduma.

Aidha amesema huduma za kibingwa zinatolewa katika hospitali za wilaya kwa kushirikiana na wataalamu kutoka hospitali za rufaa za kikanda, hatua inayolenga kuhakikisha wananchi wanapata huduma karibu na maeneo yao.

Kuhusu upatikanaji wa dawa, Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kwa sasa hali ni nzuri kwani zaidi ya asilimia 90 ya dawa zinapatikana katika hospitali zote za wilaya.

Ameongeza kuwa wilaya inatarajia kupokea wataalamu zaidi wa afya ili kuimarisha utoaji wa huduma, kutokana na Serikali tayari kuwekeza katika miundombinu na vitendea kazi.


“Nitoe wito kwa wananchi kutumia fursa ya bima ya afya kwa wote. Tusiiache itupite. Tutatangaziwa utaratibu wa kujiunga nayo na ni muhimu sisi wananchi kuwa mstari wa mbele kunufaika na fursa hii, kwani ina faida kubwa katika kupanua wigo wa upatikanaji wa huduma za afya,” amesisitiza Mhe. Nyamwese.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • SHULE YA AMALI MAPINDUZI ILIVYO KIELELEZO CHA MAFANIKIO YA SEQUIP HANDENI MJI

    January 05, 2026
  • DC NYAMWESE: HANDENI TUPO MGUU SAWA UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 06, 2026
  • MABORESHO MAKUBWA HOSPITALI YA MJI HANDENI YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA

    January 05, 2026
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.