• Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Handeni Town Council
Handeni Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • kilimo
    • ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • fedha na uongozi
      • mipango miji na mazingira
      • uchumi afya na elimu
      • ukimwi
      • maadili
    • Ratiba
      • vikao vya waheshimiwa madiwani
      • kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo Mbalimbali
    • fomu mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio

WIKI YA MAPATO HANDENI MJI DC Msando ataja vyanzo vipya vya kukusanya mapato

Posted on: July 11th, 2023

Akifungua wiki ya Ukusanyaji na Udhibiti wa Mapato uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Handeni, na kuhudhuriwa na wakuu wa idara pamoja na watendaji wa kata na mitaa wote wa Halmashauri ya Mji Handeni, inayoanza leo tarehe 11 Julai 2023 Mkuu wa Wilaya Handeni, Wakili Albert Msando amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni Bi.Maryam Ukwaju kwa kukusanya Mapato kwa asilimia 104 kwa mwaka wa fedha 2022/23. Hii imetokana na ushirikiano mkubwa uliokuwepo baina yake, watumishi na watendaji wote wa Halamashauri ya Mji.

Aidha amewakumbusha kuwa kuna vyanzo vingine bado havijafanyiwa kazi, kama vile bodaboda, mafundi seremala na wauza mkaa hawa wakisajiliwa wataipatia Halmashauri mapato. Pia aliawaambia kuwa kuanzia Januari 2024 kodi za majengo zitakusanywa na Halmashauri na kumtaka Mkurugenzi kuanza maandalizi pamoja na kuwaelimisha wananchi kuhusu kodi hiyo

Mheshimiwa mkuu wa wilaya ametoa rai kuwa, watendaji kupewa mafunzo ya kutumia Mfumo wa TAUSI na namna ya kutoa leseni ili watoe leseni za biashara kwa wananchi bila kuja Halmashauri kwa kuwa vitu vyote sasa vinapatikana kwenye mtandao, hili linaweza kufanyika kwa awamu ili kujua na kuona changamoto mbalimbali wakati wa kulitekeleza.

Wajumbe wa kamati za ukusanyaji mapato waliohudhuria katika uzinduzi wa wiki ya Ukusanyaji na Udhibiti wa Mapato, uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Handeni

Nae Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Husseni Omari Khatibu(Diwani) alisema, kukusanya mapato ni mojawapo ya ilani ya Chama Cha Mapinduzi hivyo tufanye kazi kwa ushirikiano na kukusanya mapato tutaweza kukamilisha miradi na kuwaletea wananchi maendeleo.

Mwisho Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni Bi.Maryam Ukwaju aliwaasa kuwa, wasiridhike kwa kukusanya mapato asilimia 104, bali waongeze juhudi na kubuni vyazo vingine vya mapato ili kufikia lengo, aidha aliwakumbusha kujiandaa kukusanya kodi ya majengo kuanzia Januari 2024 kama ambavyo Serikali imeirudisha makusanyo hayo kwenye Halmashauri kwa ajili ya ukusanyaji.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI 2 October 03, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI 1 September 27, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MITAA September 16, 2024
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI HANDENI IMETOA ELIMU YA KUJINGA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI WA BOMBA LA MAFUTA WILAYA YA HANDENI EACOP

    March 21, 2025
  • BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LAPENDEKEZA KUONGEZEWA MAENEO YA UTAWALA

    March 14, 2025
  • MKUTANO MKUU WA 39 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT)

    March 11, 2025
  • ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    February 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Mbunge wa jimbo la Handeni Mjini Mh.Reuben Kwagilwa aliamsha Bungeni
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Kumuona Mkurugenzi
  • Kupata kibali cha Matangazo
  • Muundo wa Tasisi
  • Kumuona Mwenyekiti wa Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Sekretariti ya Ajira
  • Ofisi ya Rais - Ikulu
  • FFARS-LIVE
  • PLANREP- BAJETI 2020/21
  • TAMISEMI
  • Utumishi

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani

Wasiliana na sisi

    Barabara ya Korogwe - Handeni

    Anuani ya Posta: S.L.P 51 HANDENI

    Simu ya Mezani: 027-2641807

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: td@handenitc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.