Posted on: July 4th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Martine Shigela ameipongeza Halmashauri ya Mji Handeni kwa kuendelea kupata hati safi. Ameyasema hayo kwenye Baraza maalum la Madiwani la kujadili na kupitia hoja za Mkaguzi ...
Posted on: May 23rd, 2018
Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Mji Handeni limekutana kwa ajili ya kuwasilisha na kupokea taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Kata zake mbalimbali.
Katika kikao hicho cha kuj...
Posted on: May 15th, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Godwin Gondwe azindua rasmi Bodi mpya ya Mamlaka ya Maji na usafi na Mazingira mjini Handeni HUWASA ambayo imezinduliwa baada ya Mamlaka hiyo kukaa kwa kipindi cha muda mrefu...