Posted on: November 28th, 2018
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Handeni kwa pamoja limeridhia wahe.Madiwani wote kukatwa posho yao ya Mwezi ili kuchangia miradi mbalimbali ya Maendeleo.
Akizungumza kwenye kikao cha Baraza l...
Posted on: November 19th, 2018
Kamati ya Fedha na Utawala katika Halmashauri ya Mji Handeni imeridhishwa na kupongeza hatua ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
Hayo yamejiri leo wakati ikifanya ziara ya...
Posted on: October 8th, 2018
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg.Charles Kabeho ameipongeza Halmashauri ya Mji Handeni kwa kuanzisha mfumo wa taarifa za Wagonjwa hospitali (GoT-HoMIS) kwenye Hospitali ya Wilaya Handen...